HISTORIA YA JAMII YA GUMBA WALIOISHI ENEO LA MLIMA KENYA MIAKA MINGI KABLA YA JAMII YA GIKUYU

1

Historia ya Jamii ya Agumba Walioshi eneo la Mlima Kenya Miaka Mingi kabla ya Wabantu na haswa jamii ya Gikuyu Kuingia Eneo hilo/Photo Courtesy

 

By James Gitaka

 

Jamii  ya  Agumba Wanadaiwa Kuishi eneo  la Mlima Kenya Miaka mingi kabla ya  Jamii ya gikuyu Kuingia  eneo Hilo.

 

Jamii hii wanadaiwa kuwa watu wafupi na waliishi ndani ya mapango na mashimo yaliyochimbwa ardhini.

 

Walikuwa Wawindaji na  wanaaminika kufurushwa eneo hilo na Ndege aina ya Korongo .

NOTE :  Image for illustration purposes only  courtesy of Fola David – Saatchi Art

About Author

1 thought on “HISTORIA YA JAMII YA GUMBA WALIOISHI ENEO LA MLIMA KENYA MIAKA MINGI KABLA YA JAMII YA GIKUYU

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *