MAKALA: John Pombe Magufuli: Safari ya Kiongozi Aliyebadili Uchumi wa Tanzania Kabla ya Kifo Chake

0

Magufuli alijulikana kwa kuanzisha miradi mikubwa ya maendeleo kama reli ya umeme ya SGR na kituo cha umeme cha Julius Nyerere, na kwa juhudi zake za kuboresha uchumi wa Tanzania, ambao ulikua kwa asilimia 6 kwa mwaka.

Dr.John Pombe Magufuli.

By Denis Charles

Makala  haya  yanaangazia historia ya Rais wa Zamani wa Tanzania, John Pombe Magufuli, na Juhudi Zake za Kupanua Uchumi wa Taifa Bila Kutegemea Mikopo ya Nje kabla ya kukumbana na kifo chake.

About Author

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *